Akizungumza kwenye kipindi cha FNL cha Eatv bondia na mwanajeshi
alistaafu jeshini ili kuingia kwenye ngumi za kulipwa nchini alisema
atagombea ubunge wa jimbo la Rorya lililoko mkoani Mara..
Maugo ambae ni bondia mashuhuri nchini amesema kwamba ameshaongea na mbunge wa sasa ambae ni Lemec Airo na kumhakikishia kwamba hatangombea mwaka 2015!
Maugo ambae ni bondia mashuhuri nchini amesema kwamba ameshaongea na mbunge wa sasa ambae ni Lemec Airo na kumhakikishia kwamba hatangombea mwaka 2015!
