CHADEMA WAJENGA MNARA WA KUMBUKUMBU YA DAUDI MWANGOSI NYOLOLO IRINGA


Mdogo wake Daudi Mwangosi akiwashukuru Chadema na wananchi wa Nyololo kwa kuweka kumbukumbu ya kaka yao mpendwa...

Hatimaye ule mnara kwa ajili ya kumkumbuka mwandishi wa habari Daudi Mwangosi aliyeuawa kwa bomu la polisi mbele ya Rpc Kamuhanda wajengwa kijijini Nyololo...


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo