BREAKING NEWS: WASANII WA JAHAZI MODERN TAARAB WAPATA AJALI

Wasanii wa kundi la Jahazi Modern Taarab wamepata ajali eneo la Mkata wakitokea Moshi akiwemo Mzee Yusufu lakini wamenusurika kifo.  
Ajali hiyo imetokea maeneo ya Mkata na kundi la jahazi wapo salama, hakuna aliyeumia ila hiyo gari nyingine walilogongana nalo wamekufa watu saba.
CHANZO: EMMANUEL SHILATU BLOG


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo