AJALI YA GARI YATOKEA UWEMBA NJOMBE

 Wananchi  wa  Uwemba  wilaya ya Njombe wakishuhudia  ajali ya  gari 

 Mbunge  wa  jimbo la  Ludewa  Deo Filikunjombe  kulia  akishuhudia  ajali  ya gali lenye  namba T570BNP ambalo  lilipinduka  na  dereva  wake  mwenye koti  jekundi  akiwa amechomoka katika gari  hilo ambalo lilikuwa na abiria  mmoja ambae  pia amepona
 Abiria  wa  gari  hilo akiruka  katika  gari  hilo baada ya  ajali  kutokea

 Abiria  aliyekuwemo katika gari hilo akijiokoa  kwa  kuruka katika gari  mara  baada ya  kupinduka eneo la Uwemba  barabara  kuu ya Njombe - Ludewa .Picha zote kwa hisani ya matukiodaima.com


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo