YANGA YAZINDUA TAWI LA MBAGALA KIBURUGWA MFENESINI

Mabingwa wa Vodacom Premier League 2012 -2013, jana tarehe 10 Agosti 2013 wamezinduwa Tawi la Klabu hiyo kongwe lililooko Mbagala Kiburugwa Mfenesini.
IMG_0612
Kaimu Mkurugenzi wa Yanga, Ndg Denis Oundo akipandisha bendera ya Young Africans Sports Club (Yanga) katika ofisi za Tawi hilo kuonesha kuhitimisha ufunguzi wa Tawi. Bw. Oundo alimwakilisha Mwenyekiti wa Klabu hiyo Ndg. Yusuf Manji.
IMG_0623
WANACHAMA WAPYA
IMG_0729
Baadhi ya wanachama wakipokea kwa furaha kadi zao mpya za uanachama
IMG_0741
 UJIRANI MWEMA – WATANI WA JADI WALISHINDWA KUJIZUIA …IMG_0690
JAMANI, USHINDI, RAHAAA….
Mwanachama akidhihirisha utamu ushindi kwa kulibusu kombe wana- Jangwani hao walilonyakuwa katika msimu wa 2012-13
Mwanachama akidhihirisha utamu ushindi kwa kulibusu kombe wana- Jangwani hao walilonyakuwa katika msimu wa 2012-13


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo