WAZIRI WA MAZINGIRA AANZA ZIARA RASMI MKOANI PWANI


Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamau wa Rais - Mazingira,Mh. Dkt Terezya Huvisa akiwa ndani ya boti wakati akitembelea Delta ya Rufiji kujionea uharibu wa mazingira wa ukataji wa mikoko,katika ziara yake mkoani Pwani.
Mkuu wa Wilya ya Rufiji,Mh. Nurdin Babu, akizungumza na wananchi wa kitongoji cha Bunwa katika wilaya ya Rufiji.
uharibifu wa mazingira uliofanywa na wafugaji na wakulima katika bonde la mto rufiji juu ya suala la usafi wa mazingira.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamau wa Rais - Mazingira,Mh. Dkt Terezya Huvisa akitia sahihi katika kitabu cha wageni wakati wa ziara yake katika Mkoa wa Pwani,Wilani Rufiji.katikati ni Mkuu wa wilaya ya Rufiji Bwana Babu na kulia ni mwenyekiti wa ccm wilaya.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo