TAZAMA MIFUGO INAVYOPATA TABU KUTOKANA NA UKOSEFU WA MVUA MKOANI ARUSHA

wafugaji wa Kabila la wamasai na wengine waishio mkoa wa Arusha na Manyara wanapata tabu ya kulisha mifugo yao kutokana na ukame uliokumba baadhi ya maeneo kutokana na kukosekana kwa mvua, hata hivyo serikali ilichukua hatua kwa kutengeneza malambo ambayo huifadhi maji ya kuwasaidia wafugaji hao kunywesha maji mifugo yao, ingawa hali ya mazingira ni kama unavyoiona kwenye picha hizo hapo juu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo