SUMASESU YAJIFUNZA MENGI KWENYE ZIARA YAKE UWANJA WA NDEGE WA KILIMANJARO (KIA)

Wafanyakazi wa shirika la SUMASESU lenye makao makuu yake wilayani Makete mkoani Njombe wakiongozwa na mkurugenzi wao Egnatio Mtawa (wa kwanza kushoto) wakitembea kwenye maeneo tofauti tofauti ya uwanja wa ndege wa kimataifa wa Kilimanjaro (KIA) walipofanya ziara ya kujifunza namna uwanja huo unavyofanya kazi

 Meneja wa zamu wa kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro akitoa maelezo ya namna kiwanja hicho kinavyofanya kazi kwa wafanyakazi wa sumsesu(hawapo pichani) wakati walipofanya ziara katika kiwanja hicho hivi karibuni


 baadhi ya majengo ya kiwanja hicho

Ndege ndogo iliyotua uwanjani hapo wakati ziara ikiendelea


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo