Msaidizi
Meneja Uzalishaji kampuni ya Faembase LTD, Aziza Ahmed akifafanua jambo
kwa mteja kuhusu dawa ya Ecotix inayoua wadudu katika mwili wa wanyama
kama mbung'o, kupe, mainzi n:k katika banda la Mifugo na Kilimo la
Farmbase LTD katika maonesho ya wakulima ya Nanenane kanda ya mashariki
uwanja wa Mwl Julius Nyerere Morogoro. PICHA NA JUMAMTANDA.BLOGSPOT.COM
Daktari wa Mifugo, Ahmed Nassour kushoto akifafanua jambo kwa wateja waliotembelea banda la Farmbase LTD kujua namna ya matumizi mbalimbali ya madawa ya kilimo na mifugo katika maonesho hayo ya Nanenane.
CREDITS:JUMA MTANDA BLOG