Akiongea
leo muda mchache uliopita Hamza King majuto amekanusha vikali kwamba
taarifa za baba yake king majuto kufunga ndoa kisirisiri mwezi huu si
kweli na ni suala la udhalilishaji,
Alizidi kukanusha na kusema kwamba
picha hizo zilizotumika hapo kwenye habari hiyo ni za filamu aliyocheza
hivi majuzi, Kwakweli imenikera sana baada ya kupokea simu nyingi kutoka
kwa mashabiki wa mzee
na kuniuliza kuhusu suala hili alisema ''Hamza''..
Alisema hamza mtoto
wa King Majuto ambaye ndiye msemaji na meneja wa mzee Majuto, kwa
atakayetaka kutambua ukweli zaidi kuhusu habari hii ampigie Hamza moja
kwa moja namba yake hii hapa- +255 717 069 000
chanzo:Masai Nyotambofu Blog