skip to main |
skip to sidebar
NANDO AITIA AIBU TANZANIA, ADAIWA KUIBA KAMERA NDANI YA BIG BROTHER
Nando
ameendelea kuitia aibu Tanzania baada ya kukumbwa na kashfa
mpya ya wizi wa kamera ndani ya jumba la big brother.
Wizi
huo unadaiwa kutendeka baada ya Nando kualikwa kushiriki
fainali za Big brother ambapo Dillish aliibuka mshindi wa
shindano hilo.....
Baada ya wizi huo, kamera za jumba hilo zilimuumbua.Nando alikamatwa na kuamriwa airejeshe camera hiyo.
Source: << BIG BROTHER>> Via mpekuzi
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi