MTOTO HUYU ANAHITAJI HURUMA YAKO


Mtoto huyu mchanga anaitwa Aisha aliletwa kituo cha kulelea watoto yatima na kupokelewa na mkuu wa kituo hicho Bi Saida Hassan kwa jina la hapo mtaani watu hupenda kumwita Bi Khadija. 
 
Mtoto huyu aliletwa baada ya mama yake mzazi kufariki na, na pia bibi yake alifariki na baada ya hapo baba yake na Aisha alipooza (paralyse) mpaka kupelekea kichanga hicho kutopata msaada wowote. 
 
Ila Bi Khadija aliamua kumchukua mtoto huyo na kuanza kumlea. Kwa yeyote aliyeguswa ampigie simu Bi Khadija kwa simu ya mkononi ambayo ni 0754584926 ukitaka kufika kituo hiki cha wa mama kipo Sinza Mori, Jijini Dar es Salaam.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo