D'JARO ARUNGU Mtangazaji nguli wa TBC FM
![]() |
Gari la mtangazaji huyu likipigwa mng'ao siku hiyo ya tukio baada ya kutengenezwa. |
![]() |
Ujumbe alioandika baada ya tukio |

Tukio
hili ni tukio la aina yake lilitokea takribani mwezi sasa, D'JARO ARUNGU
aliondoka nyumbani kwake kwa hasira baada ya kukwaruzana na mkewe
nyumba kwake anakoishi huko maeneo ya Mombasa Gongo la mboto na kuamua
kwenda kupata moja moto moja baridi huko Njia panda ya uwanja wa ndege
katika Pub hio (KBC PUB) Majira ya saa nne kasoro usiku Kama
kawaida alikutana na marafiki wakaendelea kubadilishana mawazo ya hapa
na pale kupoteza mawazo ya hasira alizopewa na shemejiyetu. mara
akashangaa kumepambazuka! Si unajua tena mambo ya stori yalivyo hasa
mnapokutana watu zaidi ya wawili?..
Basi baada ya kutoka nje na kufungua
mlango wa gari D'JARO alitaharuki kuona nyaya zinaning'inia kwenye
dashbord ya gari, Radio ya gari hakuna nguo za mazoezi aliacha kwenye
gari hazipo na kibaya zaidi alipojaribu kuwasha gari halikuwaka
liliishia kupiga king'ora (Alarm).
Ilimbidi amtafute fundi akarekebisha
gari likawa sawa.Hapo nipo alipoandika ujumbe mfupi kwenye simu yake ya
kiganjani kama mnavyouona hapo juu, Na kuamua kuelekea kazini kwake TBC
Fm kulisongesha.
chanzo: masainyotambofu.com