MSANII WA BONGO MUVI ADAM KUAMBIANA AJIBALISHA MUONEKANO WAKE

Adam Kuambiana
Kuambiana muongozaji na mwigizaji wa filamu Swahilihood.

KAMA ni mpenzi wa filamu Bongo basi unaposikia jina la Adam Philip Kuambiana si jina geni midomoni na hata masikioni mwao, historia ya kijana huyo wa Kihehe ilifunguka pale alipoigiza filamu ya kwanza iliyojulikana kwa jina Fake Pastor iliyoandaliwa na mkurugenzi wa Global Publishers ya jijini Dar es Salaam hapo ndipo Mtwa Kuambiana nyota ilipowaka.

Adam Kuambiana
Adam Kuambiana akiwa katika muonekano wa awali kabla ya kubadilisha nywele na ndevu

Adam Kuambiana, Steve Shoo, blandina Chagula, Farid,
Kuambiana akiwa na Crew ya RJ Company kikazi zaidi.
Adam kuambiana
Adam alivyo sasa katika muonekano mpya.
Adam kuambiana.
Kuambiana alivyokuwa awali.
adm kuambiana
Director Kuambiana katika muonekano mpya kifilamu zaidi.

CHANZO: FILAMU CENTRAL


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo