Mshambuliaji
wa Yanga, Hamis Kiiza amesaini mkataba wa miaka miwili kuendelea
kuitumikia klabu hiyo ya Jangwani.
Kiiza alisaini mkataba huo katika
hoteli ya Protea, Dar es Salaam na kufanya idadi ya wachezaji wa
kimataifa kufikia wanne.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi