MITI YA ULANZI ILIYOFYEKWA KUPISHA MRADI WA UMEME MAKETE TANDALA YAOTA KWA KASI



Ukitazama vizuri picha hizi utaona nyaya za umeme zimepita kwa juu, hii inamaanisha kuwa vitindi hivi vya ulanzi vilikatwa kupisha njia ya umeme kutoka Makete mjini hadi Tandala, lakini hivi sasa vitindi hivi ambavyo ni maarufu kwa kutengeneza pombe ya asili iitwayo ulanzi vimeanza kushika kasi ya kuota upya, kama ilivyonaswa na kamera ya mtandao huu katika kijiji cha Ndulamo kata ya Iwawa wilayani Makete


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo