KESI YA SHEIKH PONDA YAPIGWA KALENDA NA MAHAKAMA MOROGORO

 
Sheikh Ponda Issa Ponda akifikishwa mahakamani akiwa chini ya ulinzi.

Sheikh Ponda akiwa kizimbani leo.
Baadhi ya wananchi waliofika mahakamani.
Sheikh Ponda akirudishwa kwenye Karandinga baada ya kesi yake kuahirishwa.

Katibu Mkuu wa Jumuiya na Taasisi za Kiislamu nchini, Sheikh Ponda Issa Ponda leo amepandishwa kizimbani katika Mahakama  ya Hakimu Mkazi mkoani Morogoro kujibu mashitaka yanayomkabili.


Sheikh Ponda amepandishwa kizimbani na kusomewa upya mashtaka matatu, ambapo kesi hiyo imeahirishwa hadi Septemba 11 mwaka huu na uamuzi kuhusu dhamana ya kesi yake kujulikana Septemba 17
(PICHA NA DUSTAN SHEKIDELE GPL, MOROGORO)


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo