Juma
Mgunda kulia akiongea jambo na Hussein Ngurungu mara baada ya mazishi
ya mdogo wake Idrisa Ngurungu aliyefariki kwa ajali ya gari katika barabara
kuu Morogoro-Kisaki eneo la Kibungo siku ya ijumaa Agosti 2 mwaka huu
mkoani Morogoro na kusababisha watu wawili kufariki dunia papo hapo na
wengine wanee kujeruhiwa vibaya katika ajali hiyo iliyotokea majira kati
ya saa 6 na saa 7 mchana mkoani Morogoro.
ariki dunia katika ajali ya gari barabara kuu
Morogoro-Kisaki eneo la Kibunge siku ya ijumaa agosti 2 mwaka huu mkoani
Morogoro.
Jeneza lenye mwili wa mchezaji nyota
wa zamani aliyewahi kuzichezea klabu za Reli ya Morogoro, Pan Afrika ya
Dar es salaam na Coastal Union ya Tanga, ldrisa Ngurungu kulia na la
Laila Mgoto yakiwa katika makaburi ya Kola muda mfupi kabla ya mazishi
yao baada ya kufariki dunia katika ajali ya gari barabara kuu
Morogoro-Kisaki eneo la Kibunge siku ya ijumaa Agosti 2 mwaka huu mkoani
Morogoro.
Huyu
ni mchezaji wa zamani wa klabu ya Pan Afrika na Yanga Baakari Malima
(Jembe Ulaya) katika mazishia hayo ambapo Malima aliwahi kucheza na
Idrisa Ngurungu katika klabu ya Pan Afrika miaka hiyo.
Magari yakielekea Kola katika mazishi hayo eneo la Kilima kwa Mnyonge Kilakala.PICHA NA DJ SEK BLOG