HATIMAYE MSANII RAY C AAMUA KUOKOKA

Yule dada yetu msanii maarufu wa nyimbo za ubongo wa fuleva leo hii ameweka bayana ya kuwa yeye na shetani sasa ni paka na panya. 
 
Amethibitisha hayo katika post zake za instagram. Sisi hatuna maneno mengi zaidi ya kusema angalia picha hizo na wote tuseme AMEN umechagua njia njema.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo