Baa ya Samaki Samaki iliyopo Mbezi Beach jijini Dar ikiteketea kwa moto.
Habari zilizotufikia hivi punde ni kwamba
baa ya Samaki Samaki iliyopo Mbezi Beach jijini Dar es Salaam imeungua
kwa moto.
Jitihada za kuzima moto huo zinaendelea kwa sasa na taarifa
zaidi zitawajia hivi punde.
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi