skip to main |
skip to sidebar
AJALI SHEKILANGO DAR, GARI LAGONGANA NA BAJAJ
Ajali ilipotokea Barabara ya Shekilango.
Mashuhuda wakiwa eneo la tukio.
Kushoto ni mwanamke aliyekuwa akiendesha RAV 4.
Askari wa usalama barabarani akichukua maelezo.
Asubuhi
hii gari aina ya Toyota RAV 4 yenye namba za usajili T 682 AUC na Bajaj
yenye namba za usajili T 403 CHM zimegongana kwenye barabara ya
Shekilango eneo la Shule ya Mapambano ambapo hakuna mtu aliyeumia.
PICHA: RICHARD BUKOS / GPL
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi