
Rais
wa 44 wa Marekanai, Barrack Obama kushoto ametua nchini Tanzania kwa mara ya
kwanza muda huu kulia ni Rais Jakaya Mrisho Kikwete
Maelfu ya watanzania mchana huu wameungana na Rais Jakaya Kikwete katika mapokezi makubwa ya Rais wa marekani Barack Obama .
Rais Obama ambaye ameongozana na familia yake leo ameshindwa kujizuia kucheza ngoma za asili katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Julius Nyerere
Maelfu ya watanzania mchana huu wameungana na Rais Jakaya Kikwete katika mapokezi makubwa ya Rais wa marekani Barack Obama .
Rais Obama ambaye ameongozana na familia yake leo ameshindwa kujizuia kucheza ngoma za asili katika uwanja wa kimataifa wa mwalimu Julius Nyerere