Kivuko cha zamani kilichokuwa kikitumiwa na wananchi wa Ngara kuvuka mto Rusumo.
Kivuko kipya cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo kilichozinduliwa na Rais Kikwete Jumamosi Julai 27, 2013
Rais Kikwete akihutubia umati Ngara
Rais Kikwete akikata utepe kuzindua rasmi ujenzi wa barabara ya Kagoma-Lusahunga katika wilayani Biharamulo.
Rais
Kikwete akipiga picha ya kumbukumbu na wananchi wa Ngara baada ya
kuzindua kivuko cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo Jumamosi Julai 27, 2013
Rais
Kikwete akishiriki kupiga ngoma na kikundi cha utamaduni cha Ngara
wakati wa uzinduzi wa kivuko cha MV Ruvuvu katika mto Rusumo wilayani
Ngara.
Rais
Kikwete akisimikwa kuwa chifu wa Wahaya na kukakabidhiwa mgolole na
silaha za jadi za Wahaya katika sherehe ya kuzindua wilaya mpya ya
Kyerwa.