MWENYE PICHA HII ANATAFUTWA NA POLISI KWA TUHUMA ZA WIZI


Mwenye picha hiyo hapo juu, anaitwa Benson Chibelela anatafutwa na mwajiri wake ambaye ni Aldo Sanga kwa tuhuma za wizi alioufanya katika kituo chake cha kazi wilayani Makete Mkoani Njombe, mtuhumiwa ni mkazi wa mkoa wa Iringa

Taarifa za tuhuma hizo zipo kituo cha polisi Makete kwa RB namba MKT/RB/347/2013

Kwa yeyote mwenye taarifa zake anaombwa kutoa kupitia 0765255560 au kituo cha polisi Makete ama kituo chochote cha polisi kilichopo karibu na wewe

Zawadi nono itatolewa kwa yeyote atakayefanikisha kukamatwa kwake


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo