AJALI MBAYA YATOKEA MKOANI LINDI, YAUA NA KUJERUHI

clip_image001Gari No T663AAD mali ya mr.Victor wa Songea limepinduka na kuua mmoja na wengine kujeruhiwa katika eneo la ghala la Litula wakielekea Chiola. 

Mzigo mzito na idadi kubwa ya watu pia imechangia.Hakuna aliyekimbia,kutokana na wingi wao walidhibiti mali zao (saa 2usiku)

“Magari yalikuwa mawili yakifukuzana kwenye kona gari la nyuma likakosa kona na kuanguka”,alisema shuhuda mmoja wa ajali hiyo. 

Marehemu yupo katika chumba cha maiti katika hospitali ya Nachingwea na watu wengi wameumia sana maungoni 

Credits: Lindi Yetu


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo