MTUHUMIWA WA WIZI ANUSURIKA KUFA KAWE

 Kijana mmoja ambaye jina lake halikuweza kupatikana mara moja, amenusurika kifo kwa kupigwa kipigo cha maana, na wananchi wenye hasira baada ya kutuhimiwa kuiba kwenye nyumba moja ya mkazi wa eneo la Mbezi Darajani, Kawe, nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam, leo mchana. Pichani, wananchi wakimsulubu kwa bakora.
 Wakimsulubu kwa bakora
 Mwingine akabuka na tofali na kumwezeka nalo mtuhumiwa huyo kichwani
 Ikawa mshike mshike huku wakimvuta kumpeleka kituo cha polisi
 Huyu naye akaamua kucharaza teke la kimazoezi
 Hawa twende polisi...
Mtuhumiwa huyo akawa taaban na kuanguka, hatua iliyowafanya wananchi kutawanyika wakidhani wamemuua... kube walaa baadaye alinyanyuka taratibu na kuondoka zake. Imeyatarishwa na theNkoromo Blog


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo