MSIBA MKUBWA TENA TANZANIA, MCHEKESHAJI POSA AFARIKI DUNIA




TANZANIA COMEDIAN'S ASSOSIATION inasikitika kukuambia kuwa comedian mwenzetu Posa (PICHANI),amefariki dunia leo saa 3 asubui katika hospitali ya mwananyamala alipokuwa amelazwa.

Taarifa zaidi za msiba utakapokuwepo tutaambiana ila watu bado tupo hospitali tafadhali mjulishe na mwenzio.. 

R.I.P POSA


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo