MCHEKESHAJI KINYAMBE HATAKI KUISHI DAR. HII NDO SABABU ALIYOITOA

James Kinyambe mchekeshaji mahiri Bongo. 
 
MCHEKESHAJI anayetamba katika tasnia ya filamu na vichekesho Bongo Mohamed Abdalah ‘Kinyambe’ amesema kuwa hata siku moja hajawahi kufikiria kuishi Dar es Salaam pamoja na watayarishaji wa filamu na vichekesho wakimlazimisha msanii huyo ahame Jijini Mbeya na kuishi Dar es Salaam kwani huko ndio kwenye kazi nyingi, lakini yeye anasema kwa sababu ana kitu pekee lazima waandaaji wamfuate. .  
 
“Sitaki kuishi Dar es Salaam kwa sababu naona kila msanii akikubalika na kuwa nyota la... more »


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo