MASIKINI, MTU ASIYE NA CHEMBE YA HURUMA AMTUPA MTOTO MAENEO YA BAMAGA DAR

 
Huyu ndiye malaika wa Mungu aliyetelekezwa maeneo ya bamaga nje ya chuo cha ustawi wa jamii karibu na TBC hapa akiwa amebebwa na mmoja wa mfanyakazi wa ITV baada ya wasamaria wema kumleta ITV,Anayeonekana kwa nyuma ni mmoja wa vijana waliomuokota mtoto huyo
 
Hembu angalia jinsi katoto kalivyo kazuri kenyewe kanahisi kako na mama yake kumbe msamaria mwema. 

 Baadhi ya wafanyakazi wa ITV wakimshangaa mtoto aliyetupwa
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEhcpgGzsAhqnFhtghjhxwt7VcIkAreabj97rDT17aYldrV81XLu6Y0naE67SWty1WShWkeQLkRORl0ow_V5OkicxgsbThtfv2A7naNCtnjODqB7aw4kgAZSjhVaok2SdDaLGMlHcqwNvQgL/s640/IMG_1575.JPGPicha zote kwa hisani ya Reuben Mchome wa ITV/Radio One


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo