PICHA ZA RAIS WA MAREKANI BARACK OBAMA AKIWA UBUNGO DAR LEO

Rais Kikwete Akimtambulisha Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mh Elakim Maswi kwa Rais Barrack Obama wa Marekani  wakati alipotembela mitambo ya kufua umeme ya symbion leo asubuhi
Rais Barrack Obama akiteta jambo na  Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini Mh Elakim Maswi  wa kwanza kushoto, Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Mh Mecky Sadiq wa pili,Waziri wa Nishati Mh Sospeter Muhongo  na rais kikwete nyuma leo.
PICHA  NA IKULU


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo