Mafundi
wa DAWASCO wakizibua chemba ya maji taka iliyokuwa imeziba na kumwaga
maji katika mzunguko wa Bandari Klabu jijini Dar es Salaam leo. Chemba
hiyo ilikuwa ikitema maji hayo kwa siku kadhaa bila marekebisho.
HAYA HAPA MAGAZETI YA LEO JUMATATU JUNI 29, 2026
7 hours ago

