BREAKING NEWS: NDEGE YAPATA AJALI WILAYANI LOLIONDO

Ndege inayosadikiwa kubeba ma-flying doctors imepata ajali Loliondo. Mpaka sasa hakuna idadi kamili ya waliokuwa ndani ya ndege hiyo. 
 
Kamanda wa polisi Arusha amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.
 
SOURCE: ITV


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo