SOMA RATIBA YA KUUAGA MWILI WA MANGWEA LEADERS CLUB KESHO JUMATANO

Mwili wa marehemu Albert Mangwea umepelekwa moja kwa moja katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa ajili ya kuhifadhiwa mpaka kesho saa 2 asubuhi wakati ambapo mwili huo utafikishwa katika viwanja vya leaders club na saa 4 asubuhi shughuli za kuuaga mwili wa marehemu zitafanyika mpaka saa 7 mchana, 

Baada ya hapo utasafirishwa kwenda Morogoro na utalala kwenye nyumba yao na kesho yake siku ya Alhamisi ndiyo marehemu Albert Mangwea ataagwa tena na kuzikwa huko Morogoro na hii ndio itakuwa safari ya mwisho ya msanii Albert Mangwea. 

Mungu ailaze roho ya marehemu Albert Magwea mahala pema peponi  amina!!!


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo