ALMANUSURA MSIBA WA MANGWEA UGEUKIE KWA HUYU KIBAKA HAPA

KIBAKA 
Huku watu wakiwa katika Majonzi ya kupokea mwili wa kipenzi chao mwanamuziki wa bongo fleva Albert Mangwea kumbe wapo waliokwenda kwa dhamira nyingine ya Wizi. 

Huyu pichani kushoto ni mmoja kati ya vijana hao aliyenusurika kuuwawa na wananchi wenye majonzi na huzuni kubwa pale alipobainika alikuwa akijaribu kuiba, na kwa bahati nzuri aliokolewa na Askari wa Ulinzi uwanjani hapo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo