skip to main |
skip to sidebar
MWILI WA MANGWEA WAFIKA SALAMA MUHIMBILI
Hapa
ndipo ulipofikishwa mwili wa marehemu Albert Mangweha a.k.a Ngwair
Muhimbili hospitali kwa ajili ya kuhifadhiwa hadi kesho kwa ajili ya
kuagwa katika viwanja vya Leaders Club jijini Dar es salaam ndipo
asafirishwe kwenda Morogoro kwa ajili ya maziko...R.I.P Ngwair (Pic By
Courtesy of Dj Choka)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi