KAULI YA DK WILBROAD SLAA KUHUSU MLIPUKO WA BOMU ULIOTOKEA ARUSHA KWENYE MKUTANO WA CHADEMA

 
"Jioni hii umetokea mlipuko wa bomu la kutupwa kwa mkono jijini Arusha katika mkutano wa CHADEMA. 

Damu imemwagika. Kwa mara nyingin tena tunaona serikali ikishindwa kulinda wananchi wake ambao wanaamini ni wakati wa fikra mbadala za uongozi wa Taifa ili kujiletea maendeleo na kusimamia utu wao. 

Nawaambia, umma utashinda. Tofauti ni kwamba fikra hii mbadala itawahakikishia wao usalama katika mikusanyiko yao ya kisiasa wakati watakapokuwa chama cha upinzani.

Siku hiyo inakuja. People's Power!"


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo