JESHI LA POLISI SONGEA LAKAMATA MENO 18 TEMBO NA NOTI BANDIA

Kamanda wa Polisi Mkoa wa 
Ruvuma Deudedit Nsimeki

 akiwa ameshika noti za bandia 
ambazo zilikamatwa wakati wa 

kuuza mahindi katika soko la 

Sodeko Manispaa ya Songea
Haya  ndio meno ya tembo 
ambayo yamekamatwa katika 

kijijicha Hanga yakiwa meno

 18 ambayo yalikuwa 
yakisafirishwa kwenda Dar es salaam
Kweli watu  hawana huruma
 hayo ni meno ya tembo
 wadogo ambao walikuwa 
wakitegemewa kuwa watakuwa

 rasilimali ya taifa lakini
 masikini wawindaji haramu
 wamekatisha maisha ya tembo hao
Noti bandia zilizokamatwa 
Manispaa ya Songea katika

 soko la Sodeko, kwa mujibu wa
 kamanda wa Police Mkoa wa Ruvuma 
Jeshi la Polisi Mkoani Ruvuma 
limefanikiwa kukamata Vipande

18 vya Meno ya Tembo vikiwa 

kwenye Mfuko wa Salfeti. 
Kamanda wa Polisi Mkoa 
wa Ruvuma Deusdedit Nsmeki 

amefanikisha kukamatwa kwa meno

 ya Tembo vipande 18 vikiwa 
kwenye Mfuko wa Salfeti maeneo 

ya Hanga Misheni wilaya ya Namtumbo

PICHA NA SONGEA HABARI


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo