WANANCHI IRINGA WAWAPA KIPIGO WAPIGA NONDO NA KUWAKABIDHI POLISI

Huyu ni miongoni mwa mtuhumiwa wa wapiga nondo katika mkoa wa IRINGA akipokea kichapo kikali huku akiwa chini ya ulinzi mkali kuelekea kituo cha polisi, jamaa huyu anayefahamika kwa jina la MASTER, Amekamatwa mara tu baada ya mwenzake kukamatwa leo hii asubuhi akidaiwa naye kuhusika na uhalifu huo. hii imetokea mara tu baada ya matukio ya namna hiyo kuripotiwa mara kwa mara siku za karibuni
                        
 Baadhi ya wananchi mkoani IRINGA wakiwa na hasira na kutembeza kichapo kwa mhalifu huyo kwa kua wamechoshwa na matukio hayo yaliyokithiri  mkoani hapo

 
        
   Mtuhumiwa akiwa katika hali ngumu maana wananchi wana hasira sana na watu wa namna hiyo kuwafanyia unyama kwa kuwapiga nondo na kuwapora mali zao
 Wananchi wakiwa hawaogopi askari wakiendelea kumpa kichapo mtuhumiwa wa uhalifu huyo huku safari ya kuelekea kituoni ikiendelea

        Watu wakiwa wengi kusaka na kuwakabidhi watuhumiwa hao mikononi mwa polisi
    Wananchi wakishangaa kilichojiri leo mjini IRINGA

Picha na Peter Sanga


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo