GARI LA KANISA LAGONGA TRENI YA ABIRIA MOROGORO


BAADHI ya wananchi wa eneo la Kichangani mkoani Morogoro wakishuhudia gari la  kanisa likiwa nyang'a nya baada ya kuigonga Treni ya abiri  iliyokuwa  ikitokea Tabora kuelekea jijini Dar es salaam.

Tukio  hilo limetokea leo ambapo mchungaji  aliyekua akiendesha gari hilo  alikimbia, ambapo habari zilizopatikana eneo la tukio zilidai kwamba  mtumishi huyo wa mungu alikututwa na sekeskeke hilo baada ya kufunga  vioo vya gari lake huku akisikiliza simu hivyo hakuweza kuski honi  nyingi zilizopigwa na Treni hiyo ilipofika kwenye makutano ya barabara  hiyo, ya Treni na gari


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo