
Hii
ni picha ya awali ya kilichotokea Arusha kwenye mkutano wa chadema
Arusha baada ya kitu kinachodhaniwa kuwa ni bomu kulipuka na kujeruhi
watu.
HABARI ZAIDI KUTOKA KATIKA JIJI LA ARUSHA ZINASEMA BOMU HILO LIMELIPUKA KATIKA
MKUTANO WA CHADEMA WA KUHITIMISHA KAMPENI ZA UDIWANI
ULIKUWA UNAENDELEA JIJINI ARUSHA,
MLIPUKO HUO AMBAO HAUKUJULINA CHANZO CHAKE KWA HARAKA LIMELIPUKA KUTOKA KUSIKO JULIKANA NA KIONGOZI MMOJA WA CHADEMA ANASEMEKANA KUUMIA VIBAYA KATIKA TUKIO HILO.
HABARI ZAIDI FUATILIA HAPA HAPA