Mwenyekiti wa mojawapo ya vijiji vya kata ya Iwawa wilayani Makete akipokea zawadi yake kutoka kwa mgeni rasmi katika sherehe ya mei mosi Makete
Mkurugenzi wa shirika la SUMASESU wilaya ya Makete, Egnatio Mtawa akifafanua kuhusu zawadi ya Mei mosi kwa wafanyakazi wake, ambapo alisema kwake wafanyakazi wote ni bora, hivyo amewazawadia kwenda Matema Beach kwa siku tatu, mwanzoni mwa mwezi Julai mwaka huu
Akipongezwa na katibu wa CCM wilaya ya Makete, Miraji Mtaturu kuhusu zawadi hiyo
Watumishi wa shirika la SUMASESU wakipewa mkono na mgeni rasmi
Mgeni rasmi katibu tawala wilaya Makete Joseph Chota kwa niaba ya mkuu wa wilaya, akiwapongeza wote kwa zawadi walizozitoa kama sekta binafsi