skip to main |
skip to sidebar
VURUGU ZAZIDI KUSABABISHA MAUAJI MTWARA, 91 WAKAMATWA NA POLISI
Maduka maeneo ya Magomeni yamechomwa moto ikiwamo pia mali za Askari
magereza . Mwanafunzi wa CHUNO amefikishwa hospitali Ligula na majeraha ya risasi mguuni.
Mwanamke mwingine anayekadiriwa kuwa na miaka 25 mjamzito ameuawa kwa kupigwa risasi maiti ipo Ligula.
Kwa sasa( jioni hii) inaelezwa kuwa katika baadhi ya mitaa hali
imetulia na ni idadi ndogo ya wananchi ndiyo inayoonekana wakitembea
mitaani isipokua eneo la magomeni ambako mbomu yanaendelea kusikika huku
huduma za kijamii katika mji huo zikiwa zimesimama zikiwemo usafiri,
huduma za kibenki na shule
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi