PICHA ZA BUNGENI DODOMA LEO HII

Waziri wa  Nchi Ofisi  ya  Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia akizungumza jambo na Mbunge  wa Viti Maalum –CCM  lediana Mng’ong’o wakati wakitoka nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.
Picha zote na Magreth Kinabo- Maelezo.
Mbunge wa  Viti  Maalum- CHADEMA Chiku  Abwao akitoka nje ya ukumbi wa Bunge mjini Dodoma leo.
CIMG4535 
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera , Utaribu na Bunge  William Lukuvi ambaye pia ni Mbunge wa Jimbo la Ismani, Iringa (kushoto) akizungumza jambo na Mbunge wa Jimbo la  Kigoma Kusini, David Kafulila – NCCR MAGEUZI kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma leo.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo