MWENYEKITI WA CCM, RAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA KAMATI KUU LEO MJINI DODOMA

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete kufungua na kuendesha kikao cha Kamati Kuu ya CCM, leo katika ukumbi wa Jengo la White House mjini Dodoma. Kushoto ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Sheni na kulia ni Makamu Mwenyekiti wa CCM (Zanzibar), Philip Mangula.
 Mwenyekiti wa CCM, Rais Jakaya Kikwete akiendesha kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM, leo mjini Dodoma.
Taswira kwenye kikao hicho cha Kamati Kuu ya CCM.


JIUNGE NA EDMO BLOG SASA

Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube

Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi



 
© Copyright EDMO BLOG | Designed By Peruzibongo