Polisi wakipita eneo la Mashine tatu asubuhi hii
Abiria na wapiga debe stendi kuu wakinawa maji baada ya kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha na askari wa FFU leo
Mmiliki wa mtandao wa matukiodaima.com Francis Godwin(mzee wa matukio daima) akinawa maji baada ya kupigwa bomu la machozi
Hali ikiendelea kuwa tete kwa machinga kufunga barabara kuu ya Iringa Dodoma na ile ya mashine tatu
Ni Machafuko Iringa hivi leo
Abiria na wapiga debe stendi kuu wakinawa maji baada ya kupigwa mabomu na kumwagiwa maji ya kuwasha na askari wa FFU leo
Mmiliki wa mtandao wa matukiodaima.com Francis Godwin(mzee wa matukio daima) akinawa maji baada ya kupigwa bomu la machozi
Hali ikiendelea kuwa tete kwa machinga kufunga barabara kuu ya Iringa Dodoma na ile ya mashine tatu
Ni Machafuko Iringa hivi leo