Hizi ni mbao zilizokamtwa na idara ya maliasili wilaya ya Makete kutokana na doria waliyoifanya katika maeneo mbalimbali wilayani hapo, hii inaashiria kwamba misitu iliyopo wilayani humo inazidi kuteketea siku hadi siku, Kwa mujibu wa taarifa ni kwamba mbao 769 zimekamatwa. Hongera wataalamu wa maliasili kwa kukamata mazao hayo
DORIA YA IDARA YA MALIASILI NA UTALII WILAYA YA MAKETE YAKAMATA MBAO 769 ZILIZOVUNWA KIHARAMU
By
Unknown
at
Tuesday, May 21, 2013