skip to main |
skip to sidebar
BALOZI FRANCISCO PADILLA NA ASKOFU LEBULU WAWATEMBELEA MAJERUHI WA BOMU JIJINI ARUSHA
Askofu
Mkuu wa Kanisa Katoliki Jimbo Kuu la Arusha, Josephat Lebulu, akitoa
pole kwa majeruhi wa bomu jana , kushoto ni mwakilishi wa Papa hapa
nchini, Askofu Francisco Padilla.
Balozi
wa Vatican hapa nchini, Askofu mkuu Francisco Padilla akimjulia hali
mmoja wa majeruhi alipotembelea hospitali ya mkoa ya Mount Meru jana kwa
ajili ya kuwajulia hali majeruhi wa mlipuko katika tukio lililotokea
jana wakati wa uzinduzi wa Kanisa la Mtakatifu Joseph Mfanyakazi ,
ambapo watu zaidi ya 60 walijeruhiwa huku wawili wakifariki dunia.(Picha na Joseph Ngilisho)
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi