Na Imelda Mtema
STAA daraja A ndani ya Bongo Movies, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa anatarajia kumuenzi marehemu kwa kuachia vipande vya filamu ya After Death ambayo ni mwendelezo wa filamu ambayo ilichezwa na marehemu Steven Kanumba, Uncle JJ.
STAA daraja A ndani ya Bongo Movies, Jacqueline Wolper amefunguka kuwa anatarajia kumuenzi marehemu kwa kuachia vipande vya filamu ya After Death ambayo ni mwendelezo wa filamu ambayo ilichezwa na marehemu Steven Kanumba, Uncle JJ.
Akipiga
stori na paparazi wetu, Wolper alibainisha kuwa anatarajia kuonesha
vipande vya filamu hiyo katika siku ya Kumbukumbu ya Kanumba
itakayofanyika Aprili 7, mwaka huu katika Viwanja vya Leaders Club,
Kinondoni jijini Dar.
“Ni filamu ambayo nimeiandaa katika mazingira maalum kwa ajili ya kumuenzi marehemu Kanumba ambaye kila Mtanzania anatambua mchango wake kwenye sanaa,” alisema Wolper.