skip to main |
skip to sidebar
BEI YA MCHELE YAZIDI KUSHUKA
Hatimaye
bei za mchele zimeanza kushuka katika baadhi ya masoko hadi kufikia
kati ya sh.1300 na 1700 kwa kilo toka sh.1800 hadi 2500 wiki moja
iliyopita kufautia kuingizwa kwa mchele toka nje unaouzwa kwa bei nafuu
ambao hata hivyo bado haujasambaa kwenye masoko mengi jijini Dar es
salaam ambayo bado yanauza mchele kwa bei ya juu
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi