Muuguzi wa zamu katika hospitali ya wilaya ya Ludewa Bi.Eda Muhema akiwa
na mtoto aliyetupwa baada ya mtoto huyo kuokotwa na kufikishwa
hospitalini hapo akiwa salama
Huyu ndiye mama Magdalena Lugongo ndiye aliyemtupa mtoto wake baada ya kujifungua
Bi.Magdalena Lugongo akiwa chini ya ulinzi katika kituo cha Polisi na mtoto wake aliyemtupa baada ya kujifungua
Bi.Magdarena Lugongo akiwa na Mgambo aliyemshika na kumfikisha kituo cha Polisi
Picha zote na NIckson Mahundi
JIUNGE NA EDMO BLOG SASA
Usipitwe!! Jiunge nasi kupitia Facebook,Twitter na Instagram ili kupata habari zote za town! Usikose kujiunga na Youtube kuangalia video zote kali kutoka Edmo Blog Pekee!, kujiunga bonyeza hapa>>>Youtube
Tupe Maoni Yako lakini Usiandike Matusi